Blog Detail

Pwani Raha

Pwani Raha

http://pwaniraha.blogspot.com

Pwani Raha is a blog based in coast East Africa Dar es salaam area, the vision of the blog is cover news of East Africa region on enternainment, politics, sports and business. Tanzania Kenya (Mombasa), Uganga, Rwanda and Burundi.

subscribe Recent Posts

  • Kigoma Nao Pia Wagoma.

    Posted on Thursday December 3rd, 2009 at 14:05

    Wasafiri wakiwa katika stesheni ya Kigoma wakisubuli usafiri wafanyakazi wamegoma hadi wapewe malipo yao na kampuni iliyochaguliwa na serikali kuendesha shirika hilo.Jamani wafanyakazi wa Reli ya kati wanananyanyasika sana kwa kuchelewaeshewa malipo ...

  • Wafanyikazi Wa Shirika la Reli Wagoma.

    Posted on Thursday December 3rd, 2009 at 14:02

    Baadhi ya abiria waliokuwa wakisafiri kuelekea Kigoma na Mwanza wakiwa wamezonga stesheni ya Manyoni baada ya dereva wa treni kugoma wakati walipofika eneo hilo wakidai kuwa hadi shirika hilo liwalipe mshahara wa mwezi wa November.Huku hakuna magari ...

  • Dawa ya Hangover.

    Posted on Thursday December 3rd, 2009 at 01:17

    KICHWA kina gonga kama ngoma, unaona kizunguzungu, mwili hauna nguvu, unasikia kichefuchefu, kama unataka kutapika lakini hutapiki, kwa kifupi unajisikia hovyo kufuatia unywaji wa kupindukia ulioufanya jana! Hali hii inaitwa HANG-OVER au uchovu.Ingaw...

  • Bongo Dar es salaam Maeneo ya Kawe.

    Posted on Sunday November 29th, 2009 at 11:10

    Ayaa mawindo yangu nitawanasa tu ngoja tuzuge zetu.Mme wangu kalala mimi nakula kilaji na kufurahia muziki wa D' Banj, Dar ni raha kwenda mbele.Wasanii wakiwa katika photo ya pamoja na Prof Jay.Joe Makini na Nonino kabla ya kupanda jukwaani....

  • Mambo ya STR8Music Wasanii Kibao Walikutana.

    Posted on Sunday November 29th, 2009 at 11:05

    Mwanamuziki kutoka nchini kenya Paul Nunda aka Jua Kalii akiwa katika pozi na warembo waliohudhuria onyesho hilo.Mwanamuziki C Pwaa akiwa na wenzake katika.TID Top in Dar akiwa katika picha ya pamoja na warembo baada ya kumaliza kufanya shoo katika v...

  • D\' Banj Afanya Kweli Katika Viwanja vya Tanganyika Packers.

    Posted on Sunday November 29th, 2009 at 10:50

    Warembo waliohudhuria katika viwanja vya Tanganyika Parckers Kawe wakiwa na vinywaji wakati wa onyesho la D' Banj.D' Banj na wenzake wakitoa burudani katika viwanja vya Tanganyika Berkers usiku wa kumakia leo.Wanigeria ambao ni maarufu katika ulimwen...

Comments & Reviews

There is no rating for this blog because there are no comments yet.

Post A Comment/Review

* Your IP is being logged.
* Your e-mail address is used only for verification purposes only and will not be sold, or shown publicly.
* No HTML tags allowed
* DO NOT use the Comments/Reviews to promote your own site.

Name: or Login
E-mail:
Rating:
Verify: Spam Protection: sum of 3 + 4
Comment:
  Remember Information
 
  •  

  • Rate This Blog

  • Tag Cloud

  • view moreRecent Viewers

    • shanchere
    • muzungumalaika
    • sandraskanderlic
    • GVF1