Blog Detail
Pwani Raha
http://pwaniraha.blogspot.com
Pwani Raha is a blog based in coast East Africa Dar es salaam area, the vision of the blog is cover news of East Africa region on enternainment, politics, sports and business. Tanzania Kenya (Mombasa), Uganga, Rwanda and Burundi.
Recent Posts
KUTANA NA TOP BAND KILA JUMAPILI KATIKA UKUMBI WA BILLCANAS
Msanii wa mahili hapa nchini Mohamed Halid aka TID akifanya onyesho katika ukumbi wa Billcanas jijini Dar es Salaam,kilajumapili usiku hufanya shoo katika ukumbi huo wote mnakaribishwa....
THABEET AUMIA TAYA
MEMPHIS, Tenn. (AP) -- Memphis Grizzlies rookie center Hasheem Thabeet, the second overall pick in the June draft, left Tuesday night's game against the Portland Trail Blazers with a broken jaw.The 7-foot-3 center from UConn was injured late in the f...
VODACOM MMEMWONA HUYU MPIGAPICHA ANVYOWAFAGILIA
Makampuni mengi yamekuwa na tabia ya kujitangaza kwa aina mbalimbali kama vile kuchapisha matangazo yao kwenye furana na sehemu nyingine muhimu mmoja wa wapigapicha mahiri nchini akiwa kazini huku amevalia furana iliyokuwa na tangazo la vodacom, L...
ELIZABETH GUPTA AWASILI NCHINI APOKELEWA KISHUJAA.
Mama mzazi wa Mshiriki wa Big Brother Rovolution Hallin Gupta akimpongeza mwanawe Elizabeth Gupta baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Jk Nyerere Dar es Salaam akitokea nchini Afrika Kusini ambako mashindano hayo yanafan...
SIMBA YAINYUKA TIMU YA RUVU SHOOTING 3-0
Mshambuliaji hatari wa simba Emmanuel Okwi akiwatoka walinzi wa timu ya Ruvu Shooting wakati wa mechi ya kirafiki iliyofanyika katika uwanja wa uhuru Dar es Salaam Simba ilishinda 3-0 ...
Likonde Mtwara
kutoka kulia ni kijana mwenye umri wa miaka 18 Ali Juma aliyemaliza darasa la saba katika shule ya msingi ya Likonde Mtwara, akiwafundisha watoto Tounguen Mfaume mwenye miaka 12 katikati na Mloka Mniba mwenye umri wa miaka 7 namna ya kubambua korosh...

